forked from WA-Catalog/sw_tn
452 B
452 B
Markusi
Markusi ni mtumishi wa kiume wa Kuhani Mkuu
Ala
Huu ni mkoba wakisu au sime unauzuia kisu kisimkate mwenye nacho
Kikombe
Hii inamaanisha 1) Kiasi cha mateso ambayo Yesu alitakiwa kuyapokea 2) Gadhabu ya Mungu ambayo Yesu ilimlazimu kuivumilia ili kuwalkomboa watu wake.
Je nisikinywee kikombe ambacho Baba yangu amenipa?
Yesu anahoji hili swali kuonesha msisitizo kwamba lazima ateseke.
Baba
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.