forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
452 B
Markdown
20 lines
452 B
Markdown
|
# Markusi
|
||
|
|
||
|
Markusi ni mtumishi wa kiume wa Kuhani Mkuu
|
||
|
|
||
|
# Ala
|
||
|
|
||
|
Huu ni mkoba wakisu au sime unauzuia kisu kisimkate mwenye nacho
|
||
|
|
||
|
# Kikombe
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha 1) Kiasi cha mateso ambayo Yesu alitakiwa kuyapokea 2) Gadhabu ya Mungu ambayo Yesu ilimlazimu kuivumilia ili kuwalkomboa watu wake.
|
||
|
|
||
|
# Je nisikinywee kikombe ambacho Baba yangu amenipa?
|
||
|
|
||
|
Yesu anahoji hili swali kuonesha msisitizo kwamba lazima ateseke.
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.
|