sw_tn/jhn/18/10.md

20 lines
452 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Markusi
Markusi ni mtumishi wa kiume wa Kuhani Mkuu
# Ala
Huu ni mkoba wakisu au sime unauzuia kisu kisimkate mwenye nacho
# Kikombe
Hii inamaanisha 1) Kiasi cha mateso ambayo Yesu alitakiwa kuyapokea 2) Gadhabu ya Mungu ambayo Yesu ilimlazimu kuivumilia ili kuwalkomboa watu wake.
# Je nisikinywee kikombe ambacho Baba yangu amenipa?
Yesu anahoji hili swali kuonesha msisitizo kwamba lazima ateseke.
# Baba
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.