sw_tn/jhn/17/25.md

454 B

Ulimwengu haukukutambua, lakini mimi nakujua; na hawa wanajua kuwa ulinituma

"ulimwengu hauna uzoefu wa kukujua wewe kama ninavyokujua; na hawa wanajua kuwa wewe umenituma"

jina

Hili linamanisha Mungu.

lile pendo...ulilonipenda

Upendo wa jinsi hii hutoka kwa Mungu na hulenga mema ya wengine, hata kama hauna maslahi binafsi. Upendo wa jinsi hii huwajali wengine bila kujali wanachofanya

Mungu mwenye haki

Hiki ni cheo cha muhimucha Mungu