forked from WA-Catalog/sw_tn
454 B
454 B
Ulimwengu haukukutambua, lakini mimi nakujua; na hawa wanajua kuwa ulinituma
"ulimwengu hauna uzoefu wa kukujua wewe kama ninavyokujua; na hawa wanajua kuwa wewe umenituma"
jina
Hili linamanisha Mungu.
lile pendo...ulilonipenda
Upendo wa jinsi hii hutoka kwa Mungu na hulenga mema ya wengine, hata kama hauna maslahi binafsi. Upendo wa jinsi hii huwajali wengine bila kujali wanachofanya
Mungu mwenye haki
Hiki ni cheo cha muhimucha Mungu