forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
454 B
Markdown
16 lines
454 B
Markdown
|
# Ulimwengu haukukutambua, lakini mimi nakujua; na hawa wanajua kuwa ulinituma
|
||
|
|
||
|
"ulimwengu hauna uzoefu wa kukujua wewe kama ninavyokujua; na hawa wanajua kuwa wewe umenituma"
|
||
|
|
||
|
# jina
|
||
|
|
||
|
Hili linamanisha Mungu.
|
||
|
|
||
|
# lile pendo...ulilonipenda
|
||
|
|
||
|
Upendo wa jinsi hii hutoka kwa Mungu na hulenga mema ya wengine, hata kama hauna maslahi binafsi. Upendo wa jinsi hii huwajali wengine bila kujali wanachofanya
|
||
|
|
||
|
# Mungu mwenye haki
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo cha muhimucha Mungu
|