forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
424 B
Markdown
16 lines
424 B
Markdown
# Baba mwenyewe anawapenda kwa sababu mmenipenda mimi
|
|
|
|
Mtu akimpenda Yesu, Mwana, pia anampenda baba, kwa sababu Baba na Mwana ni mmoja.
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.
|
|
|
|
# Nilitoka kwa Baba... Naondoka ulimwenguni na ninaenda kwa Baba.
|
|
|
|
Baba alimtuma mwana msalabani awaokoe waamini toka kwenye dhambi na jehanamu, akafufuka toka kwa wafu, na akarudi Mbinguni.
|
|
|
|
# Ulimwengu
|
|
|
|
"dunia." Ni mahali ambapo watu wanaishi.
|