sw_tn/jhn/16/26.md

424 B

Baba mwenyewe anawapenda kwa sababu mmenipenda mimi

Mtu akimpenda Yesu, Mwana, pia anampenda baba, kwa sababu Baba na Mwana ni mmoja.

Baba

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.

Nilitoka kwa Baba... Naondoka ulimwenguni na ninaenda kwa Baba.

Baba alimtuma mwana msalabani awaokoe waamini toka kwenye dhambi na jehanamu, akafufuka toka kwa wafu, na akarudi Mbinguni.

Ulimwengu

"dunia." Ni mahali ambapo watu wanaishi.