sw_tn/jhn/16/26.md

16 lines
424 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Baba mwenyewe anawapenda kwa sababu mmenipenda mimi
Mtu akimpenda Yesu, Mwana, pia anampenda baba, kwa sababu Baba na Mwana ni mmoja.
# Baba
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.
# Nilitoka kwa Baba... Naondoka ulimwenguni na ninaenda kwa Baba.
Baba alimtuma mwana msalabani awaokoe waamini toka kwenye dhambi na jehanamu, akafufuka toka kwa wafu, na akarudi Mbinguni.
# Ulimwengu
"dunia." Ni mahali ambapo watu wanaishi.