sw_tn/jhn/16/19.md

227 B

Sentensi unganishi:

Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake

amini, amini nawaambia

tafsiri kwa kuonesha kuwa kifuatacho ni cha muhimu zaidi

lakini ulimwengu utashangilia

lakini watu wanaompinga Mungu watashangilia