sw_tn/jhn/16/19.md

12 lines
227 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi:
Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake
# amini, amini nawaambia
tafsiri kwa kuonesha kuwa kifuatacho ni cha muhimu zaidi
# lakini ulimwengu utashangilia
lakini watu wanaompinga Mungu watashangilia