forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
420 B
Markdown
12 lines
420 B
Markdown
# sasa mwana wa Mtu ametukuzwa na Mungu ametukuzwa ndani yake
|
|
|
|
Unaweza kutafasiri hii hivi, "Sasa watu wataona jinsi ambavyo mwana wa Mtu atapokea heshima na jinsi ambavyo Mungu atapokea heshimu kupitia yale anayoyafanya mwana wa Mtu."
|
|
|
|
# watoto wadogo
|
|
|
|
Yesu anatumia neno watoto wadogo kumaanisha kwamba aliwapenda wanafunzi wake kama watoto wake.
|
|
|
|
# kama nilivyosema kwa Wayahudi
|
|
|
|
Hii inamaanisha viongozi wa Kiyahudi
|