sw_tn/jhn/13/31.md

420 B

sasa mwana wa Mtu ametukuzwa na Mungu ametukuzwa ndani yake

Unaweza kutafasiri hii hivi, "Sasa watu wataona jinsi ambavyo mwana wa Mtu atapokea heshima na jinsi ambavyo Mungu atapokea heshimu kupitia yale anayoyafanya mwana wa Mtu."

watoto wadogo

Yesu anatumia neno watoto wadogo kumaanisha kwamba aliwapenda wanafunzi wake kama watoto wake.

kama nilivyosema kwa Wayahudi

Hii inamaanisha viongozi wa Kiyahudi