sw_tn/jhn/10/09.md

16 lines
452 B
Markdown

# Mimi ni mlango
Alimaanisha yeye mwenyewe kama "mlango," Yesu anaonyesha kwamba anatoa njia ya kweli kupata kile zizi la kondoo linawakilisha.
# Malisho
Neno "malisho" linamaanisha eneo lenye nyasi mahali kondoo huenda kula.
# Hawezi kuja isipokuwa
Hiki ni kinyume mara mbili. Katika lugha zingine ina uasilia zaidi kwa kutumia sentensi chanya.
# Ili kwamba wawe na uzima
Neno "wawe" linamaanisha kondoo. "uzima" linamaanisha uzima wa milele.