sw_tn/jhn/10/09.md

452 B

Mimi ni mlango

Alimaanisha yeye mwenyewe kama "mlango," Yesu anaonyesha kwamba anatoa njia ya kweli kupata kile zizi la kondoo linawakilisha.

Malisho

Neno "malisho" linamaanisha eneo lenye nyasi mahali kondoo huenda kula.

Hawezi kuja isipokuwa

Hiki ni kinyume mara mbili. Katika lugha zingine ina uasilia zaidi kwa kutumia sentensi chanya.

Ili kwamba wawe na uzima

Neno "wawe" linamaanisha kondoo. "uzima" linamaanisha uzima wa milele.