forked from WA-Catalog/sw_tn
452 B
452 B
Mimi ni mlango
Alimaanisha yeye mwenyewe kama "mlango," Yesu anaonyesha kwamba anatoa njia ya kweli kupata kile zizi la kondoo linawakilisha.
Malisho
Neno "malisho" linamaanisha eneo lenye nyasi mahali kondoo huenda kula.
Hawezi kuja isipokuwa
Hiki ni kinyume mara mbili. Katika lugha zingine ina uasilia zaidi kwa kutumia sentensi chanya.
Ili kwamba wawe na uzima
Neno "wawe" linamaanisha kondoo. "uzima" linamaanisha uzima wa milele.