forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
452 B
Markdown
16 lines
452 B
Markdown
|
# Mimi ni mlango
|
||
|
|
||
|
Alimaanisha yeye mwenyewe kama "mlango," Yesu anaonyesha kwamba anatoa njia ya kweli kupata kile zizi la kondoo linawakilisha.
|
||
|
|
||
|
# Malisho
|
||
|
|
||
|
Neno "malisho" linamaanisha eneo lenye nyasi mahali kondoo huenda kula.
|
||
|
|
||
|
# Hawezi kuja isipokuwa
|
||
|
|
||
|
Hiki ni kinyume mara mbili. Katika lugha zingine ina uasilia zaidi kwa kutumia sentensi chanya.
|
||
|
|
||
|
# Ili kwamba wawe na uzima
|
||
|
|
||
|
Neno "wawe" linamaanisha kondoo. "uzima" linamaanisha uzima wa milele.
|