forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
384 B
Markdown
12 lines
384 B
Markdown
# Sisi
|
|
|
|
Neno sisi linawahusisha wote Yesu na wanafunzi wake aliokuwa akiongea nao.
|
|
|
|
# Mchana...Usiku
|
|
|
|
Yesu analinganisha wakati watu wanaweza kufanya kazi wakait wa mchana, wakati ambao kwa kawaida watu hutenda kazi, na wakati wa usiku watu hawawezi kufanya kazi ya Mungu.
|
|
|
|
# Nuru ya Ulimwengu
|
|
|
|
Yule ambaye aonyeshaye kile kilicho cha kweli kama vile nuru ionyeshacho kilicho halisi.
|