sw_tn/jhn/09/03.md

384 B

Sisi

Neno sisi linawahusisha wote Yesu na wanafunzi wake aliokuwa akiongea nao.

Mchana...Usiku

Yesu analinganisha wakati watu wanaweza kufanya kazi wakait wa mchana, wakati ambao kwa kawaida watu hutenda kazi, na wakati wa usiku watu hawawezi kufanya kazi ya Mungu.

Nuru ya Ulimwengu

Yule ambaye aonyeshaye kile kilicho cha kweli kama vile nuru ionyeshacho kilicho halisi.