sw_tn/jhn/09/03.md

12 lines
384 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sisi
Neno sisi linawahusisha wote Yesu na wanafunzi wake aliokuwa akiongea nao.
# Mchana...Usiku
Yesu analinganisha wakati watu wanaweza kufanya kazi wakait wa mchana, wakati ambao kwa kawaida watu hutenda kazi, na wakati wa usiku watu hawawezi kufanya kazi ya Mungu.
# Nuru ya Ulimwengu
Yule ambaye aonyeshaye kile kilicho cha kweli kama vile nuru ionyeshacho kilicho halisi.