sw_tn/jhn/08/45.md

323 B

Nani kati yenu ananishuhudia kuwa ni mwenye dhambi?

Hakuna yeyote kati yenu anayeweza kunishuhudia kuwa mimi nina dhambi." Yesu aliuliza swali hili kuweka mkazo kuwa yeye hana dhambi.

Kwa nini haniamini

Hamna sababu ya kushindwa kuniamini" Yesu alitumia swali hili kuwakemea viongozi wa Kiyahudi kwa kutoamini kwao.