forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
323 B
Markdown
8 lines
323 B
Markdown
|
# Nani kati yenu ananishuhudia kuwa ni mwenye dhambi?
|
||
|
|
||
|
Hakuna yeyote kati yenu anayeweza kunishuhudia kuwa mimi nina dhambi." Yesu aliuliza swali hili kuweka mkazo kuwa yeye hana dhambi.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini haniamini
|
||
|
|
||
|
Hamna sababu ya kushindwa kuniamini" Yesu alitumia swali hili kuwakemea viongozi wa Kiyahudi kwa kutoamini kwao.
|