sw_tn/jhn/08/42.md

246 B

Pendo

Huu ni aina ya upendo unaotoka kwa Mungu na unaelekea katika mema ya wengine, hata kama haufaidiki chochote.

Kwa nini hamyaelewi maneno yangu?

Yesu anatumia swali hili hasa hasa kuwakemea viongozi wa Kiyahudi kwa kutomsikiliza yeye.