sw_tn/jhn/08/42.md

8 lines
246 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Pendo
Huu ni aina ya upendo unaotoka kwa Mungu na unaelekea katika mema ya wengine, hata kama haufaidiki chochote.
# Kwa nini hamyaelewi maneno yangu?
Yesu anatumia swali hili hasa hasa kuwakemea viongozi wa Kiyahudi kwa kutomsikiliza yeye.