forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
246 B
Markdown
8 lines
246 B
Markdown
|
# Pendo
|
||
|
|
||
|
Huu ni aina ya upendo unaotoka kwa Mungu na unaelekea katika mema ya wengine, hata kama haufaidiki chochote.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini hamyaelewi maneno yangu?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali hili hasa hasa kuwakemea viongozi wa Kiyahudi kwa kutomsikiliza yeye.
|