forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
576 B
Markdown
24 lines
576 B
Markdown
# Bwana, sina
|
|
|
|
hapa neno "Bwana" ni namna ya kumkabili mtu wa upole. "Bwana, hakuna mtu"
|
|
|
|
# wakati maji yanapotibuliwa
|
|
|
|
Hii linaweza kufasiriwa katika muundo tendaji. "wakati malaika hutibua maji"
|
|
|
|
# ndani ya dimbwi
|
|
|
|
hili lilikuwa ni shimo katika chini ambalo watu walijaza maji. wakati mwingine walilizungushia kwa vigae na mawe.
|
|
|
|
# mwingine huenda mbele yangu
|
|
|
|
watu walishuka kwa hatua kadhaa kuingia ndani ya maji. "mtu mwingine mara zote huingia ndani ya maji kabla yangu.
|
|
|
|
# Inuka
|
|
|
|
"simama!"
|
|
|
|
# chukua kitanda chako na uende
|
|
|
|
"Chukua godor lako la kulalia, na utembee!"
|