sw_tn/jhn/05/07.md

576 B

Bwana, sina

hapa neno "Bwana" ni namna ya kumkabili mtu wa upole. "Bwana, hakuna mtu"

wakati maji yanapotibuliwa

Hii linaweza kufasiriwa katika muundo tendaji. "wakati malaika hutibua maji"

ndani ya dimbwi

hili lilikuwa ni shimo katika chini ambalo watu walijaza maji. wakati mwingine walilizungushia kwa vigae na mawe.

mwingine huenda mbele yangu

watu walishuka kwa hatua kadhaa kuingia ndani ya maji. "mtu mwingine mara zote huingia ndani ya maji kabla yangu.

Inuka

"simama!"

chukua kitanda chako na uende

"Chukua godor lako la kulalia, na utembee!"