forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
520 B
Markdown
16 lines
520 B
Markdown
# Rabbi, wewe ni Mwana wa Mungu! Wewe ni mfalme wa Israeli!
|
|
|
|
Nathanaeli anasema Yesu ni "Mwana wa Mungu" kwa sababu Yesu amjua Nathanaeli pasipo kukutana naye awali.
|
|
|
|
# Mwana wa Mungu
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.
|
|
|
|
# Kwa sababu nilikuambia.. je unaamini?
|
|
|
|
Hili jibu linaonekana katika jinsi ya swali kuonesha msisitizo. unaweza kuifasili kama sentesi. AT: "Unaamini kwa sababu nilisema, nilikuona chini ya mtini'!
|
|
|
|
# Amini, amini
|
|
|
|
Tafsiri hili jinsi ambavyo lugha yako inavyosisitiza kuwa kile kinachofuata ni kweli.
|