forked from WA-Catalog/sw_tn
520 B
520 B
Rabbi, wewe ni Mwana wa Mungu! Wewe ni mfalme wa Israeli!
Nathanaeli anasema Yesu ni "Mwana wa Mungu" kwa sababu Yesu amjua Nathanaeli pasipo kukutana naye awali.
Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.
Kwa sababu nilikuambia.. je unaamini?
Hili jibu linaonekana katika jinsi ya swali kuonesha msisitizo. unaweza kuifasili kama sentesi. AT: "Unaamini kwa sababu nilisema, nilikuona chini ya mtini'!
Amini, amini
Tafsiri hili jinsi ambavyo lugha yako inavyosisitiza kuwa kile kinachofuata ni kweli.