sw_tn/jhn/01/12.md

16 lines
373 B
Markdown

# Amini juu ya
Hii ina maanisha Yesu kuwa Mwokozi na kuishi kwa jinsi ambayo inamtukuza.
# Jina
Neno 'jina" ni neno ambalo linaelezea utamblisho wa "Yesu" na kila kitu kitu kuhusu yeye.
# aliwapa uwezo
aliwapa mamlaka" au "aliwezesha kwa ajili yao"
# Wana wa Mungu
Neno "watoto"ni mfano ambao unawakilisha uhusiano wetu na Mungu, ambao ni kama vile watoto na baba.