forked from WA-Catalog/sw_tn
373 B
373 B
Amini juu ya
Hii ina maanisha Yesu kuwa Mwokozi na kuishi kwa jinsi ambayo inamtukuza.
Jina
Neno 'jina" ni neno ambalo linaelezea utamblisho wa "Yesu" na kila kitu kitu kuhusu yeye.
aliwapa uwezo
aliwapa mamlaka" au "aliwezesha kwa ajili yao"
Wana wa Mungu
Neno "watoto"ni mfano ambao unawakilisha uhusiano wetu na Mungu, ambao ni kama vile watoto na baba.