sw_tn/jhn/01/12.md

373 B

Amini juu ya

Hii ina maanisha Yesu kuwa Mwokozi na kuishi kwa jinsi ambayo inamtukuza.

Jina

Neno 'jina" ni neno ambalo linaelezea utamblisho wa "Yesu" na kila kitu kitu kuhusu yeye.

aliwapa uwezo

aliwapa mamlaka" au "aliwezesha kwa ajili yao"

Wana wa Mungu

Neno "watoto"ni mfano ambao unawakilisha uhusiano wetu na Mungu, ambao ni kama vile watoto na baba.