forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
373 B
Markdown
16 lines
373 B
Markdown
|
# Amini juu ya
|
||
|
|
||
|
Hii ina maanisha Yesu kuwa Mwokozi na kuishi kwa jinsi ambayo inamtukuza.
|
||
|
|
||
|
# Jina
|
||
|
|
||
|
Neno 'jina" ni neno ambalo linaelezea utamblisho wa "Yesu" na kila kitu kitu kuhusu yeye.
|
||
|
|
||
|
# aliwapa uwezo
|
||
|
|
||
|
aliwapa mamlaka" au "aliwezesha kwa ajili yao"
|
||
|
|
||
|
# Wana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Neno "watoto"ni mfano ambao unawakilisha uhusiano wetu na Mungu, ambao ni kama vile watoto na baba.
|