forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
490 B
Markdown
24 lines
490 B
Markdown
# Amenikausha na kunifanya kuwa bakuli tupu
|
|
|
|
Babeli amechukua kila kitu cha Israeli.
|
|
|
|
# Amenimeza
|
|
|
|
Yerusalemu inafananisha uharibifu wake na kitendo cha kumezwa.
|
|
|
|
# Kama Joka
|
|
|
|
Hii inamfanaisha Babeli na Joka.
|
|
|
|
# Anashibisha tumbo lake kwa chakula kizuri.
|
|
|
|
Hii inaelezea kuwa Babeli amechukua kila kitu toka kwa Israeli.
|
|
|
|
# Amenitoa nje.
|
|
|
|
Ambacho Babeli hakukipenda baada ya kuchukua kila kitu ni kutupa vyakula vya zamani toka kwenye chugu.
|
|
|
|
# Wenyeji wa Kaldayo
|
|
|
|
"watu walioishi Kaldayo."
|