|
# Heshiboni
|
|
|
|
Hili ni jina la mji wa kifalme wa mfalme wa Moabu.
|
|
|
|
# Eleale ... Yahasa ... Soari ... Horonaimu ... Eglath-Shelishia
|
|
|
|
Haya ni majina ya miji ya Moabu.
|
|
|
|
# Nimrimu
|
|
|
|
Hili ni jina la mto karibu na bahari ya Shamu.
|
|
|
|
# Analosema Bwana
|
|
|
|
"alilosema Bwana"
|