forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
366 B
Markdown
16 lines
366 B
Markdown
# Ishmaeli ... Nethania ... Gedalia ... Ahikamu
|
|
|
|
Haya ni majina ya watu.
|
|
|
|
# Yohana ... Karea
|
|
|
|
Haya ni majina ya watu.
|
|
|
|
# Wao waliokombolewa toka kwa Ishmaeli
|
|
|
|
"yeye na jeshi lake walikombolewa toka kwa Ishmaeli"
|
|
|
|
# Hii ni baada ya Ishmaeli kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu.
|
|
|
|
Mwandishi anaacha kusimulia na kuonesha tukio lililopita ili mtiririko wa matukio ueleweke.
|