forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
443 B
Markdown
16 lines
443 B
Markdown
# Neno la Yahwe likaja kwa.
|
|
|
|
Nii ni namna ya kuweka utangulizi wa kile anachokwenda kusema Yahwe
|
|
|
|
# Hamgtapokea maelekezo na kusikiliza neno langu?
|
|
|
|
Swali hili limeulizwa kwa ajili ya kuwakemea Israeli.
|
|
|
|
# Yonadabu ... Rekabu.
|
|
|
|
Haya ni majina ya kiume.
|
|
|
|
# Maneno ya Yonadabu mwana wa Rekabu aliyowapa wanawe kama amfri, wasinywe divai yoyote, yameheshimiwa.
|
|
|
|
Wana wa Yonadabu, wana wa Rekabu, waliishika amri ya baba yao ya kutokunywa divai."
|