forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
474 B
Markdown
20 lines
474 B
Markdown
# Mashamba yatanunuliwa katika nchi hii.
|
|
|
|
"Basi watu watanunua mashamba akataika nchi hii."
|
|
|
|
# Mnasema.
|
|
|
|
Hawa wanaozungumziwa hapa ni watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.
|
|
|
|
Hapa "mkono" ni nguvu au umiliki.
|
|
|
|
# Na kuandika katika barua zilizopigwa muhuri.Wtakusanya mshahidi.
|
|
|
|
Hii ni nyaraka ambayo mtu husaini kwa ajili ya kununua shamba. Watu wengine huwa mashahidi wa ununuzi huo.
|
|
|
|
# Kwa maana nitawarejesha wafungwa wao.
|
|
|
|
"Kwa maana nitawafanikisha tena."
|