forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
320 B
Markdown
20 lines
320 B
Markdown
# Maelezo ya jumla:
|
|
|
|
yahwe anaendelea kusema kwa Yeremia.
|
|
|
|
# Ili kunikasirisha.
|
|
|
|
"Kilichonifanya nikasirike sana."
|
|
|
|
# Wanaofanya maovu mbele ya macho yangu.
|
|
|
|
"Wanaofanya kile ambacho nakihesabu kuwa uovu."
|
|
|
|
# Tangu ujana wao.
|
|
|
|
"Tangu kipindi walipokuwa taifa."
|
|
|
|
# Matendo ya mikono yao.
|
|
|
|
"Mambo maovu ambayo wamefanya."
|