forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
728 B
Markdown
28 lines
728 B
Markdown
# Maelezo ya jumla:
|
|
|
|
Yeremia anaendelea kuzungumza:
|
|
|
|
# Kwa maana amacho yako yanaona njia zote za watu.
|
|
|
|
"Unaona kila kitu ambacho wanadamu wanafanya."
|
|
|
|
# Ili kumlipa kila mtu stahiki ya matendo yake.
|
|
|
|
"Na utamlipa kila mtu kulingana matendo na tabia yake"
|
|
|
|
# Ulifanya ishara na maajabu katika nchi ya Misiri.
|
|
|
|
Haya ni matukio yaliyopita mbapo Mungu alitumia nguvu zake ili kuwatoa utumwani watu wake wa Israeli huko Misiri.
|
|
|
|
# Hata leo.
|
|
|
|
"Hadi siku ya leo."
|
|
|
|
# Umelifanya jina lako kuwa maarufu.
|
|
|
|
Hapa "jina" linawakilisha tabia ya Mungu. ("Umejifanya mwenyewe kujulikana.")
|
|
|
|
# Kwa mkono ulioinuka, kwa mkono wenye nguvu.
|
|
|
|
Virai hivi vyote vinaelezeaa nguvu. Kwa pamoja vinaulezea ukuu wa nguvu za Yahwe. "Kwa nguvu zako kuu."
|