forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
320 B
Markdown
12 lines
320 B
Markdown
# Laana itatamkwa na wafungwa wote wa Yuda.
|
|
|
|
Hii inaweza kuandikwa kataika mfumo wa moja kwa moja:"Mateka wa Yuda watasema laana juu watu hawa."
|
|
|
|
# Aliwaoka kwenye moto
|
|
|
|
"Aliwachoma hadi kufa."
|
|
|
|
# Mimi ndiye nijuaye; mimi ni shahidi
|
|
|
|
Virai hivi wiwili vina maana moja, na Yahwe anavirudia kwa ajili ya kuweka msisitizo.
|