forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
334 B
Markdown
16 lines
334 B
Markdown
# wameniacha
|
|
|
|
Hapa neno "wao" linamaanisha watu wa Yuda.
|
|
|
|
# wamejaza mahali damu isiyo na hatia
|
|
|
|
""aliuawa watu wengi wasio na hatia mahali hapa"
|
|
|
|
# kitu ambacho sijawaamuru
|
|
|
|
"kitu ambacho ninawazuia kufanya"
|
|
|
|
# wala hakuingia ndani ya akili yangu
|
|
|
|
Hapa neno "akili" linamaanisha mawazo ya Bwana. AT "wala sijawahi kufikiri juu yake"
|