forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
909 B
Markdown
40 lines
909 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
BWANA anaendelea kuongea na Yeremia juu ya watu wa Yuda.
|
|
|
|
# Kila mmoja wenu
|
|
|
|
neno "wenu" linawawakilisha watu wa Yuda
|
|
|
|
# awe mlinzi wa jirani yake na usimwamini hata ndugu yako yeyote
|
|
|
|
"uwemwangalifu kwa kutowaamini ndugu zako Waisraeli, na usimwamini hata ndugu yako"
|
|
|
|
# kila jirani anatembea akilaghai
|
|
|
|
Tabia ya kuongea uongo juu ya kila mmoja ni ulagahai.
|
|
|
|
# Kila mwanamuume anamkejeli jirani yake na haongei ukweli
|
|
|
|
"Watu wote wanakejeliana na hawasemei ukweli"
|
|
|
|
# Ndimi zao hufundisha vitu vya uongo
|
|
|
|
"wanafundisha vitu ambavyo si vya ukweli."
|
|
|
|
# Hujidhofisha ili kusema uongo
|
|
|
|
"wamechoka kwa sababu ya kutenda maovu mengi"
|
|
|
|
# makazi yenu yako kati ya udanganyifu
|
|
|
|
kuishi na miongoni mwa waongo ni sawa na kuishi katikati ya uongo.
|
|
|
|
# kwa uongo wao wanakataa kunitambua mimi
|
|
|
|
"Kwa kusema uongo huu wote, watu wa Yuda wameshindwa kunitii mimi kama Mungu."
|
|
|
|
# asema BWANA
|
|
|
|
Tazama 1:7
|