forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
484 B
Markdown
20 lines
484 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Huu ndio ujumbe ambao BWANA antaka kumpa Yerermia kwa ajili ya watu wa Yuda.
|
|
|
|
# Tengenezeni njia zenu na kufanya mema
|
|
|
|
"Ongozeni kwa maisha mema na matendo mema"
|
|
|
|
# muishi hapa
|
|
|
|
katika nchi ya Israeli. ambayo ina hekalu ambalo ni kitovu chake
|
|
|
|
# msitumainie maneno ya uongo mkisema
|
|
|
|
"Msitumainie maneno yanuongo kwa kusema"
|
|
|
|
# Hekalu la BWANA! Hekalu la BWANA! hekalu la BWANA!
|
|
|
|
"Hili ni hekalu la BWANA kwa hiyo kuna uhakika wa kwamba hakuna atakayeliharibu."
|