sw_tn/jer/02/35.md

751 B

Mimi

"sisi"

Kwa hakika hasira ya BWANA itageuka kutoka kwangu

"Kwa hakika BWANA hatakuwa mwenye hasira tena

utahukumiwa

"utakukumiwa vikali"

Tangu

"kwa sababu"

sikutenda

"hatukutenda"

kwa nini mnatangatanga kwa urahisi katika njia zenu

BWANA anawatania Waisraeli kwa sababu ya kubadilisha kutoka ufame mwingine hadi mwingine kutafuta msaada lakini hawakumtegemea Mungu kwa ajili ya kupata msaada

kwa urahisi

bila kujali

mmehuzunika

kujisikia kuwa na huzuni au kutokuwa na furaha kwa sababu mfalme wa Misri alikataa kuwasaidia.

Mtaondoka hapo mkiwa

"Mtaondoka hapo kutoka Misri"

mmehuzunika

kwa huzuni kwa sababu hamkupata msaada wa Wamisiri.

mikono vichwani mwenu

Hii inaonesha watu wakiwa katika maombolezo