forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
751 B
Markdown
44 lines
751 B
Markdown
|
# Mimi
|
||
|
|
||
|
"sisi"
|
||
|
|
||
|
# Kwa hakika hasira ya BWANA itageuka kutoka kwangu
|
||
|
|
||
|
"Kwa hakika BWANA hatakuwa mwenye hasira tena
|
||
|
|
||
|
# utahukumiwa
|
||
|
|
||
|
"utakukumiwa vikali"
|
||
|
|
||
|
# Tangu
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu"
|
||
|
|
||
|
# sikutenda
|
||
|
|
||
|
"hatukutenda"
|
||
|
|
||
|
# kwa nini mnatangatanga kwa urahisi katika njia zenu
|
||
|
|
||
|
BWANA anawatania Waisraeli kwa sababu ya kubadilisha kutoka ufame mwingine hadi mwingine kutafuta msaada lakini hawakumtegemea Mungu kwa ajili ya kupata msaada
|
||
|
|
||
|
# kwa urahisi
|
||
|
|
||
|
bila kujali
|
||
|
|
||
|
# mmehuzunika
|
||
|
|
||
|
kujisikia kuwa na huzuni au kutokuwa na furaha kwa sababu mfalme wa Misri alikataa kuwasaidia.
|
||
|
|
||
|
# Mtaondoka hapo mkiwa
|
||
|
|
||
|
"Mtaondoka hapo kutoka Misri"
|
||
|
|
||
|
# mmehuzunika
|
||
|
|
||
|
kwa huzuni kwa sababu hamkupata msaada wa Wamisiri.
|
||
|
|
||
|
# mikono vichwani mwenu
|
||
|
|
||
|
Hii inaonesha watu wakiwa katika maombolezo
|