forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
937 B
Markdown
44 lines
937 B
Markdown
# Kwa kuwa nilivunja nira yenu mliyokuwa nayo wakati wa kale; Nilivichana vifungo vyako kutoka kwako Lakini bado ulisema, 'Sitamtumikia!'
|
|
|
|
"Hapo zamani niliwakomboa kutoka utumwani, lakini mlikataa kuniheshimu mimi!"
|
|
|
|
# tangu ulipopiga magoti katika kila kilima na kuusogelea kila mti wenye majani mabichi, enyi makahaba.
|
|
|
|
Mlizipigia magoti sanamu na kuziabudu kama mwanamke mzinzi anavyomfanyia mume wake"
|
|
|
|
# Vifungo
|
|
|
|
ni minyoror inayotumika kumfunga mtu au mnyama
|
|
|
|
# kusogelea
|
|
|
|
kuwa chini
|
|
|
|
# Lakini mimi mwenyewe niliwapanda kama mzabibu, mbegu iliyokamilika.
|
|
|
|
Mimi, BWANA, ndiye nilikuanzisha kwa mwanzo mwema."
|
|
|
|
# niliwapanda
|
|
|
|
kuweka kwenye ardhi ili kukua
|
|
|
|
# na kuwa mzabibu usiofaa na mzabibu pori
|
|
|
|
"umekuwa kama maozea, divai isiyofaa"
|
|
|
|
# usiofaa
|
|
|
|
msaliti, mwasi
|
|
|
|
# dhambi yako ni madoa
|
|
|
|
"bado una hatia ya kutenda dhambi
|
|
|
|
# madoa
|
|
|
|
madoa yanawakilisha ukumbusho wa mara kwa mara wa dhambi ya Waisraeli
|
|
|
|
# Asema BWANA
|
|
|
|
Tazama 1:17
|