sw_tn/jdg/18/07.md

359 B

Laishia

Hili ni jina la mji.

Hapakuwa na mtu aliyewashinda katika nchi hiyo

"Hapakuwa na adui yeyote aliyeishi kwenye nchi yao na kuwashinda"

hawakuwa na ushirikiano na mtu yeyote

"hawakuwa na mawasiliano na mtu yeyote wa nje" Hii inamaanisha kuwa walikuwa mbali sana na miji mingine.

Zora

Hili ni jina la mji.

Eshtaol

Hili ni jina la mji.