forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
359 B
Markdown
20 lines
359 B
Markdown
|
# Laishia
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|
||
|
|
||
|
# Hapakuwa na mtu aliyewashinda katika nchi hiyo
|
||
|
|
||
|
"Hapakuwa na adui yeyote aliyeishi kwenye nchi yao na kuwashinda"
|
||
|
|
||
|
# hawakuwa na ushirikiano na mtu yeyote
|
||
|
|
||
|
"hawakuwa na mawasiliano na mtu yeyote wa nje" Hii inamaanisha kuwa walikuwa mbali sana na miji mingine.
|
||
|
|
||
|
# Zora
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|
||
|
|
||
|
# Eshtaol
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|