sw_tn/jdg/16/20.md

675 B

Wafilisti wako juu yako, Samsoni

Wafilisti wamekuja kukukamata.

Aliamka

"kuamka"

Nitatoka nje

"nitatoroka"

wakamng'oa macho yake

Hiki ni kitendo cha kutoa macho yake.

Wakampeleka Gaza.

Gaza ni sehemu iliyokuwa chini toka kwenye nyumba waliyomkamata.

wakamfunga kwa shaba

"wakamfunga kwa kutumia shaba"

Pingu

Hivi ni vifungo vinavyofungwa mwisho wa minyororo ili kushikilia miguu na mikono ya mfungwa.

Akisaga ngano

"kusaga ngano kuzunguka duara"

Jiwe la kusagia

Hili ni jiwe kubwa lenye umbo la duara ambalo hutumika kusagia nafaka. Huwa linazunguswa na wanyama kama ng'ombe au farasi.

baada ya kunyolewa.

"Baada ya Wafilisti kuzinyoa"