forked from WA-Catalog/sw_tn
675 B
675 B
Wafilisti wako juu yako, Samsoni
Wafilisti wamekuja kukukamata.
Aliamka
"kuamka"
Nitatoka nje
"nitatoroka"
wakamng'oa macho yake
Hiki ni kitendo cha kutoa macho yake.
Wakampeleka Gaza.
Gaza ni sehemu iliyokuwa chini toka kwenye nyumba waliyomkamata.
wakamfunga kwa shaba
"wakamfunga kwa kutumia shaba"
Pingu
Hivi ni vifungo vinavyofungwa mwisho wa minyororo ili kushikilia miguu na mikono ya mfungwa.
Akisaga ngano
"kusaga ngano kuzunguka duara"
Jiwe la kusagia
Hili ni jiwe kubwa lenye umbo la duara ambalo hutumika kusagia nafaka. Huwa linazunguswa na wanyama kama ng'ombe au farasi.
baada ya kunyolewa.
"Baada ya Wafilisti kuzinyoa"