forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
675 B
Markdown
40 lines
675 B
Markdown
|
# Wafilisti wako juu yako, Samsoni
|
||
|
|
||
|
Wafilisti wamekuja kukukamata.
|
||
|
|
||
|
# Aliamka
|
||
|
|
||
|
"kuamka"
|
||
|
|
||
|
# Nitatoka nje
|
||
|
|
||
|
"nitatoroka"
|
||
|
|
||
|
# wakamng'oa macho yake
|
||
|
|
||
|
Hiki ni kitendo cha kutoa macho yake.
|
||
|
|
||
|
# Wakampeleka Gaza.
|
||
|
|
||
|
Gaza ni sehemu iliyokuwa chini toka kwenye nyumba waliyomkamata.
|
||
|
|
||
|
# wakamfunga kwa shaba
|
||
|
|
||
|
"wakamfunga kwa kutumia shaba"
|
||
|
|
||
|
# Pingu
|
||
|
|
||
|
Hivi ni vifungo vinavyofungwa mwisho wa minyororo ili kushikilia miguu na mikono ya mfungwa.
|
||
|
|
||
|
# Akisaga ngano
|
||
|
|
||
|
"kusaga ngano kuzunguka duara"
|
||
|
|
||
|
# Jiwe la kusagia
|
||
|
|
||
|
Hili ni jiwe kubwa lenye umbo la duara ambalo hutumika kusagia nafaka. Huwa linazunguswa na wanyama kama ng'ombe au farasi.
|
||
|
|
||
|
# baada ya kunyolewa.
|
||
|
|
||
|
"Baada ya Wafilisti kuzinyoa"
|