forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
688 B
Markdown
24 lines
688 B
Markdown
# Samsoni akashuka Timna
|
|
|
|
Neno "kushuka" linatumika kwa sababu Timna ipo juu ya ilipokuwa nyumba ya baba yake na Samsoni. Timna ni jina la mji uliopo kwenye bonde la Soreki.
|
|
|
|
# Na, tazama, kuna simba mdogo wa alikuja
|
|
|
|
"Tazama" ni neno lililotumika ili kumfanya msomaji awe makini kwa tukio linalofuata katika simulizi.
|
|
|
|
# alikuwa akiunguruma
|
|
|
|
"alikuwa akimtisha." Hii ni sauti ya simba ambayo huitoa akiwa anataka kuvamia kitu.
|
|
|
|
# Roho wa Bwana ghafla akaja juu yake
|
|
|
|
Roho wa Bwana akamchochea Samsoni. Akamfanya kuwa na nguvu sana.
|
|
|
|
# Kumrarua ... vipande
|
|
|
|
Akamrarua vipande viwili.
|
|
|
|
# hakuwa na kitu mkononi mwake
|
|
|
|
Hakuwa na kitu mkononi mwake ikimaanisha kuwa hakuwa na silaha yoyote.
|