sw_tn/jdg/14/05.md

688 B

Samsoni akashuka Timna

Neno "kushuka" linatumika kwa sababu Timna ipo juu ya ilipokuwa nyumba ya baba yake na Samsoni. Timna ni jina la mji uliopo kwenye bonde la Soreki.

Na, tazama, kuna simba mdogo wa alikuja

"Tazama" ni neno lililotumika ili kumfanya msomaji awe makini kwa tukio linalofuata katika simulizi.

alikuwa akiunguruma

"alikuwa akimtisha." Hii ni sauti ya simba ambayo huitoa akiwa anataka kuvamia kitu.

Roho wa Bwana ghafla akaja juu yake

Roho wa Bwana akamchochea Samsoni. Akamfanya kuwa na nguvu sana.

Kumrarua ... vipande

Akamrarua vipande viwili.

hakuwa na kitu mkononi mwake

Hakuwa na kitu mkononi mwake ikimaanisha kuwa hakuwa na silaha yoyote.